Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:7 - Swahili Revised Union Version

Nyingine zikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikazisonga;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nyingine zikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikazisonga;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;


Naye aliyepandwa penye miiba, huyo ndiye alisikiaye lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno; likawa halizai.


Lakini jua lilipozuka ziliungua; na kwa kuwa hazina mizizi zikanyauka.


nyingine zikaanguka penye udongo mzuri, zikazaa, moja mia, moja sitini, moja thelathini.


Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda.


Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.