Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:3 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:3
27 Marejeleo ya Msalaba  

Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.


Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Mwanadamu, tega kitendawili, ukawaambie nyumba ya Israeli mithali;


Ndipo nikasema, Ee Bwana MUNGU, wao hunisema; Je! Mtu huyu si mtu mwenye kupiga mithali?


Siku hiyo watatunga mithali juu yenu, na kuomboleza kwa maombolezo ya huzuni nyingi, na kusema, Sisi tumeangamizwa kabisa; Yeye analibadili fungu la watu wangu; Jinsi anavyoniondolea hilo! Awagawia waasi mashamba yetu.


Je! Hawa wote hawatapiga mfano juu yake, na mithali ya kusimanga juu yake, wakisema, Ole wake yeye aongezaye kisicho mali yake! Hata lini? Na ole wake yeye ajitwikaye mzigo wa rehani!


Na alipokuwa akipanda, mbegu nyingine zilianguka karibu na njia, ndege wakaja wakazila;


Ikawa Yesu alipoimaliza mifano hiyo, alitoka akaenda zake.


Yesu akajibu, akawaambia tena kwa mifano, akisema,


Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mnatambua ya kuwa wakati wa mavuno uko karibu;


Akaanza kusema nao kwa mifano; Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalizungushia ua, akachimba shimo la shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Nao wakataka kumkamata, wakaogopa mkutano; maana walitambua ya kwamba ule mfano amewanenea wao. Wakamwacha wakaenda zao.


Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?


Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi mifano yote mtaitambuaje?


Kwa mifano mingi ya namna hii alikuwa akisema nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulisikia;


Petro akamwambia, Bwana, mfano huo umetuambia sisi tu, au watu wote pia?


Akasema, Ninyi mmepewa kuzijua siri za ufalme wa Mungu; bali wengine kwa mifano, ili wakiona wasione, na wakisikia wasielewe.


Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa inakuja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.