Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 13:53 - Swahili Revised Union Version

53 Ikawa Yesu alipoimaliza mifano hiyo, alitoka akaenda zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Isa alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Isa alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

53 Ikawa Yesu alipoimaliza mifano hiyo, alitoka akaenda zake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:53
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Akawaambia, Kwa sababu hiyo, kila mwandishi mwenye elimu ya ufalme wa mbinguni amefanana na mtu mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.


Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo