Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 4:33 - Swahili Revised Union Version

33 Kwa mifano mingi ya namna hii alikuwa akisema nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulisikia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Kwa mifano mingine mingi kama hii Isa alinena nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulielewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Kwa mifano mingine mingi kama hii Isa alinena nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulielewa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Kwa mifano mingi ya namna hii alikuwa akisema nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulisikia;

Tazama sura Nakili




Marko 4:33
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


lakini ikiisha kupandwa hukua, ikawa kubwa kuliko miti yote ya mboga, ikafanya matawi makubwa; hata ndege wa angani waweza kukaa chini ya uvuli wake.


wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.


Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo