Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 12:37 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 12:37
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.


Hapo baadhi ya Waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.