Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 12:37 - Swahili Revised Union Version

37 Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

37 Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:37
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.


Hapo baadhi ya Waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo