Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 12:38 - Swahili Revised Union Version

38 Hapo baadhi ya Waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Kisha baadhi ya waalimu wa sheria na Mafarisayo wakamwambia Yesu, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Kisha baadhi ya waalimu wa sheria na Mafarisayo wakamwambia Yesu, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Kisha baadhi ya waalimu wa sheria na Mafarisayo wakamwambia Yesu, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Kisha baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Torati wakamwambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Kisha baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Torati wakamwambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Hapo baadhi ya Waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:38
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.


Wengine walimjaribu, wakimtaka afanye ishara itokayo mbinguni.


Na makutano walipokuwa wakimkusanyikia, alianza kusema, Kizazi hiki ni kizazi kibaya; kinatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya Yona.


Basi Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Ni ishara gani utuoneshayo, kwamba unafanya haya?


Basi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa?


Wakamwambia, Unafanya ishara gani basi, ili tuione tukakuamini? Unatenda kazi gani?


Kwa sababu Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo