Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 12:17 - Swahili Revised Union Version

ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ili yale aliyosema Mungu kwa njia ya nabii Isaya yatimie:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ili yale aliyosema Mungu kwa njia ya nabii Isaya yatimie:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ili yale aliyosema Mungu kwa njia ya nabii Isaya yatimie:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili neno lililonenwa na nabii Isaya litimie, aliposema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hii ilikuwa ili litimie lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kusema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 12:17
15 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, mambo ya kwanza yamekuwa, nami nayahubiri mambo mapya; kabla hayajatokea nawapasheni habari zake.


nilithibitishaye neno la mtumishi wangu, na kuyafikiliza mashauri ya wajumbe wangu; niuambiaye Yerusalemu, Utakaliwa na watu, nayo miji ya Yuda, Itajengwa, nami nitapainua mahali pake palipobomoka;


akawakataza wasimdhihirishe;


Tazama, mtumishi wangu niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.


ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema, Nitafumbua kinywa changu kwa mifano, Nitayatamka yaliyositirika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.


Haya yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema,


ili litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema, Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu, Na kuyachukua magonjwa yetu.


Kwa kuwa siku hizo ndizo za mapatilizo, ili yatimizwe yote yaliyoandikwa.


Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika vitabu vya Manabii na Zaburi.


Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiwa na neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka);


ili litimie lile neno la nabii Isaya alilolisema, Bwana, ni nani aliyezisadiki habari zetu; Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?


Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu.


Kwa maana wakaao Yerusalemu, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua yeye, wala maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato, wameyatimiza kwa kumhukumu.