Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 21:4 - Swahili Revised Union Version

4 Haya yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Haya yalitukia ili litimie neno lililonenwa na nabii, aliposema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Haya yalitukia ili litimie lile lililonenwa na nabii, akisema:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Haya yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema,

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akisema,


Na kama mtu akiwaambia neno, semeni, Bwana anawahitaji; naye atawatuma mara moja.


Lakini haya yote yamekuwa, ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.


Wakamletea Yesu yule mwanapunda, wakatandika mavazi yao juu yake; akaketi juu yake.


Wakampeleka kwa Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwanapunda, wakampandisha Yesu.


Nayo kesho yake watu wengi walioijia sikukuu walisikia ya kwamba Yesu anakuja Yerusalemu;


Usiogope, binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwanapunda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo