Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 11:16 - Swahili Revised Union Version

Lakini nitakifananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wanaokaa sokoni, wanaowaita wenzao, wakisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Lakini kizazi hiki nikifananishe na nini? Kinafanana na watoto waliokaa sokoni wakiwaita wenzao na kuwaambia,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Lakini kizazi hiki nikifananishe na nini? Kinafanana na watoto waliokaa sokoni wakiwaita wenzao na kuwaambia,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini nitakifananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wanaokaa sokoni, wanaowaita wenzao, wakisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 11:16
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nikushuhudie nini? Nikufananishe na nini, Ee Binti Yerusalemu? Nikulinganishe na nini, nipate kukufariji, Ee bikira binti Sayuni? Kwa maana uvunjifu wako ni mkuu kama bahari, Ni nani awezaye kukuponya?


Mwenye masikio, na asikie.


Tuliwapigia filimbi, wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.


Enyi wazawa wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.


Amin, nawaambieni, Mambo hayo yote yatakuja juu ya kizazi hiki.


na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.


Amin, nawaambia, Kizazi hiki hakitapita, hata hayo yote yatakapotimia.


Akawaambia katika mafundisho yake, Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni,


Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?


Ole wenu, Mafarisayo, kwa kuwa mwapenda kuketi mbele katika masinagogi, na kusalimiwa masokoni.


Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini?