Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 4:30 - Swahili Revised Union Version

30 Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Akawaambia tena, “Tuufananishe ufalme wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Akawaambia tena, “Tuufananishe Ufalme wa Mwenyezi Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?

Tazama sura Nakili




Marko 4:30
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nikushuhudie nini? Nikufananishe na nini, Ee Binti Yerusalemu? Nikulinganishe na nini, nipate kukufariji, Ee bikira binti Sayuni? Kwa maana uvunjifu wako ni mkuu kama bahari, Ni nani awezaye kukuponya?


Lakini nitakifananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wanaokaa sokoni, wanaowaita wenzao, wakisema,


Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika shamba lake;


Ni kama punje ya haradali, ambayo ipandwapo katika nchi, ingawa ni ndogo kuliko mbegu zote zilizo katika nchi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo