Marko 4:30 - Swahili Revised Union Version30 Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Akawaambia tena, “Tuufananishe ufalme wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Akawaambia tena, “Tuufananishe Ufalme wa Mwenyezi Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani? Tazama sura |