Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 13:18 - Swahili Revised Union Version

18 Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kisha Isa akauliza, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaufananisha na nini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kisha Isa akauliza, “Ufalme wa Mwenyezi Mungu unafanana na nini? Nitaufananisha na nini?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini?

Tazama sura Nakili




Luka 13:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nikushuhudie nini? Nikufananishe na nini, Ee Binti Yerusalemu? Nikulinganishe na nini, nipate kukufariji, Ee bikira binti Sayuni? Kwa maana uvunjifu wako ni mkuu kama bahari, Ni nani awezaye kukuponya?


Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika shamba lake;


Akasema, Ufalme wa Mungu, mfano wake ni kama mtu aliyemwaga mbegu juu ya nchi;


Akasema mara ya pili, Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?


wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.


Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo