Luka 13:18 - Swahili Revised Union Version18 Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kisha Isa akauliza, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaufananisha na nini? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kisha Isa akauliza, “Ufalme wa Mwenyezi Mungu unafanana na nini? Nitaufananisha na nini? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini? Tazama sura |