Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 10:30 - Swahili Revised Union Version

lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 10:30
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akajibu, Nakusihi, mfalme na amkumbuke BWANA, Mungu wako, ili mlipiza kisasi cha damu asizidi kuharibu, wasije kumharibu mwanangu. Naye akasema, Aishivyo BWANA, hautaanguka chini hata unywele mmoja wa mwanao.


Sulemani Akasema, Akionekana kuwa mtu wa kweli, hata unywele wake mmoja hautaanguka chini; lakini uovu ukionekana ndani yake, atakufa.


Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope basi, bora ninyi kuliko Shomoro wengi.


Lakini hautapotea hata unywele mmoja wa vichwa vyenu.


Basi nawasihi mle chakula, maana itakuwa kwa wokovu wenu; kwa maana hapana hata unywele wa kichwa cha mmoja wenu utakaopotea.


Lakini watu wakamwambia Sauli, Je! Atakufa Yonathani, ambaye ndiye aliyeufanya huo wokovu mkuu katika Israeli? Hasha! Kama aishivyo BWANA, hautaanguka chini hata unywele mmoja wa kichwa chake; kwa maana ametenda kazi pamoja na Mungu leo. Hivyo hao watu wakamponya Yonathani, asife.