Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 10:30 - Swahili Revised Union Version

30 lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.

Tazama sura Nakili




Mathayo 10:30
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akajibu, Nakusihi, mfalme na amkumbuke BWANA, Mungu wako, ili mlipiza kisasi cha damu asizidi kuharibu, wasije kumharibu mwanangu. Naye akasema, Aishivyo BWANA, hautaanguka chini hata unywele mmoja wa mwanao.


Sulemani Akasema, Akionekana kuwa mtu wa kweli, hata unywele wake mmoja hautaanguka chini; lakini uovu ukionekana ndani yake, atakufa.


Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope basi, bora ninyi kuliko Shomoro wengi.


Lakini hautapotea hata unywele mmoja wa vichwa vyenu.


Basi nawasihi mle chakula, maana itakuwa kwa wokovu wenu; kwa maana hapana hata unywele wa kichwa cha mmoja wenu utakaopotea.


Lakini watu wakamwambia Sauli, Je! Atakufa Yonathani, ambaye ndiye aliyeufanya huo wokovu mkuu katika Israeli? Hasha! Kama aishivyo BWANA, hautaanguka chini hata unywele mmoja wa kichwa chake; kwa maana ametenda kazi pamoja na Mungu leo. Hivyo hao watu wakamponya Yonathani, asife.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo