Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 8:7 - Swahili Revised Union Version

Walikuwa na visamaki vichache; akavibariki, akasema wawagawie na hivyo pia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walikuwa pia na visamaki vichache, Isa akavibariki, akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walikuwa pia na visamaki vichache, Isa akavibariki, akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walikuwa na visamaki vichache; akavibariki, akasema wawagawie na hivyo pia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 8:7
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaagiza makutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akabariki, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi, wanafunzi wakawapa makutano.


Akawaagiza mkutano waketi chini; akaitwaa ile mikate saba, akashukuru, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawaandalie; wakawaandalia mkutano.


Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?


Basi Yesu akawaambia, Wanangu, mna kitoweo? Wakamjibu, La.