Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 8:18 - Swahili Revised Union Version

Mna macho, hamwoni; mna masikio, hamsikii? Wala hamkumbuki?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, mna macho lakini mnashindwa kuona, na mna masikio lakini mnashindwa kusikia? Je, hamkumbuki?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, mna macho lakini mnashindwa kuona, na mna masikio lakini mnashindwa kusikia? Je, hamkumbuki?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mna macho, hamwoni; mna masikio, hamsikii? Wala hamkumbuki?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 8:18
15 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yao yatiwe giza wasione, Na viuno vyao uvitetemeshe daima.


Hawajui wala hawafikiri; maana amewafumba macho, wasione, na mioyo yao, wasiweze kufahamu.


Sikilizeni neno hili, enyi watu wajinga msio na ufahamu; mlio na macho ila hamuoni; mlio na masikio ila hamsikii.


Mwanadamu, wewe unakaa kati ya nyumba iliyoasi, watu ambao wana macho ya kuona, ila hawaoni, wana masikio ya kusikia, ila hawasikii; kwa maana ni nyumba iliyoasi.


ili wakitazama watazame, wasione; Na wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije wakaongoka, na kusamehewa.


Amewapofusha macho, Ameifanya mizito mioyo yao; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakafahamu kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.


Kama ilivyoandikwa, Mungu aliwapa roho ya usingizi, macho hata wasione, na masikio hata wasisikie, hata siku hii ya leo.


lakini BWANA hakuwapa moyo wa kujua, wala macho ya kuona, wala masikio ya kusikia, hata leo hivi.


Je! Hamkumbuki ya kuwa wakati nilipokuwapo pamoja nanyi niliwaambia hayo?


Kwa hiyo nitakuwa tayari kuwakumbusha hayo siku zote, ijapokuwa mnayajua na kuthibitishwa katika kweli mliyo nayo.