Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 7:16 - Swahili Revised Union Version

Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye masikio na asikie!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye masikio na asikie!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia na asikie.]”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia na asikie.]”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 7:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.


Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu. [


Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu ule mfano.


Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikizia, na asikie.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.