Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:19 - Swahili Revised Union Version

Naye yule Herodia akawa akimvizia, akataka kumwua, asiweze.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumuua, asiweze.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumuua, asiweze.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumuua, asiweze.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Herodia alikuwa amemwekea Yahya kinyongo, akataka kumuua. Lakini hakuweza,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Herodia alikuwa amemwekea Yahya kinyongo akataka kumuua. Lakini hakuweza,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye yule Herodia akawa akimvizia, akataka kumwua, asiweze.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ahabu akamwambia Eliya, Je! Umenipata, ewe adui yangu? Akamwambia, Nimekupata, kwa sababu umejiuza utende yaliyo mabaya machoni pa BWANA.


Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.


Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; masikio yake yako wazi, lakini hasikii.


Maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga, akamtia gerezani, kwa ajili ya Herodia, mke wa Filipo nduguye.


Hata ilipofika sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya watu, akampendeza Herode.