Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:18 - Swahili Revised Union Version

kwa sababu Yohana alimwambia Herode, Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yahya alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuwa na mke wa ndugu yako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yahya alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuwa na mke wa ndugu yako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa sababu Yohana alimwambia Herode, Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya akasema, Kama BWANA aishivyo, neno lile BWANA aniambialo, ndilo nitakalolinena.


Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.


Tena mwanamume akimtwaa mke wa nduguye, ni upotovu; ameufunua utupu wa nduguye; hao watakuwa hawana wana.


Kisha wakamtemea mate, wakautwaa ule mwanzi, wakampigapiga kichwani.