Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:30 - Swahili Revised Union Version

30 Kisha wakamtemea mate, wakautwaa ule mwanzi, wakampigapiga kichwani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Kisha wakamtemea mate, wakautwaa ule mwanzi, wakampigapiga kichwani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:30
12 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA, mkombozi wa Israeli, Mtakatifu wake, amwambia hivi yeye anayedharauliwa na wanadamu; yeye anayechukiwa na taifa hili; yeye aliye mtumishi wao watawalao; Wafalme wataona, watasimama; wakuu nao watasujudu; kwa sababu ya BWANA aliye mwaminifu, Mtakatifu wa Israeli aliyekuchagua.


Niliwatolea wapigao mgongo wangu, na wang'oao ndevu mashavu yangu; sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate.


Kama vile wengi walivyokustaajabia, (uso wake ulikuwa umeharibiwa sana zaidi ya mtu yeyote, na umbo lake zaidi ya wanadamu),


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.


Sasa utajikusanya vikosi vikosi, Ee binti wa vikosi; yeye amemhusuru; watampiga mwamuzi wa Israeli shavuni mwake kwa fimbo.


Ndipo wakamtemea mate usoni, wakampiga ngumi; na wengine wakampiga makofi,


nao watamdhihaki, na kumtemea mate, na kumpiga mijeledi, na kumwua; na baada ya siku tatu atafufuka.


Wengine wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, na kumpiga makonde, na kumwambia, tabiri. Hata watumishi nao wakamchukua wakampiga makofi.


Wakampiga mwanzi wa kichwa, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo