Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 5:17 - Swahili Revised Union Version

Wakaanza kumsihi aondoke katika eneo lao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi watu wakaanza kumwomba Isa aondoke katika nchi yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi watu wakaanza kumwomba Isa aondoke katika nchi yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakaanza kumsihi aondoke katika eneo lao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 5:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Abimeleki akamwambia Isaka, Utoke kwetu, maana wewe una nguvu sana kuliko sisi.


Akamwambia Eliya, Nina nini nawe, Ee mtu wa Mungu? Je! Umenijia ili dhambi yangu ikumbukwe, ukamwue mwanangu?


Na tazama, mji wote ukatoka kwenda kumlaki Yesu; nao walipomwona, walimsihi aondoke katika nchi yao.


akisema, Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Je! Umekuja kutuangamiza?


akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.


Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini mbele ya Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.


Na jamii ya watu wa nchi ya Wagerasi iliyo karibu walimwomba aondoke kwao, kwa kuwa walishikwa na hofu kubwa; basi akapanda katika mashua, akarudi.


Wakaja wakawasihi; na walipokwisha kuwatoa nje, wakawaomba watoke katika mji ule.


Sasa basi, mbona tufe? Maana moto huu mkubwa utatuteketeza; tukiisikia tena sauti ya BWANA, Mungu wetu, tutakufa.