Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 5:17 - Swahili Revised Union Version

17 Wakaanza kumsihi aondoke katika eneo lao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Basi watu wakaanza kumwomba Isa aondoke katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Basi watu wakaanza kumwomba Isa aondoke katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Wakaanza kumsihi aondoke katika eneo lao.

Tazama sura Nakili




Marko 5:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Abimeleki akamwambia Isaka, Utoke kwetu, maana wewe una nguvu sana kuliko sisi.


Akamwambia Eliya, Nina nini nawe, Ee mtu wa Mungu? Je! Umenijia ili dhambi yangu ikumbukwe, ukamwue mwanangu?


Na tazama, mji wote ukatoka kwenda kumlaki Yesu; nao walipomwona, walimsihi aondoke katika nchi yao.


akisema, Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Je! Umekuja kutuangamiza?


akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.


Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini mbele ya Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.


Na jamii ya watu wa nchi ya Wagerasi iliyo karibu walimwomba aondoke kwao, kwa kuwa walishikwa na hofu kubwa; basi akapanda katika mashua, akarudi.


Wakaja wakawasihi; na walipokwisha kuwatoa nje, wakawaomba watoke katika mji ule.


Sasa basi, mbona tufe? Maana moto huu mkubwa utatuteketeza; tukiisikia tena sauti ya BWANA, Mungu wetu, tutakufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo