Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 5:18 - Swahili Revised Union Version

18 Naye alipokuwa akipanda katika mashua, yule aliyekuwa na pepo akamsihi kwamba awe pamoja naye;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Yesu alipokuwa anapanda mashuani, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo akamwomba amruhusu kwenda naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Yesu alipokuwa anapanda mashuani, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo akamwomba amruhusu kwenda naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Yesu alipokuwa anapanda mashuani, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo akamwomba amruhusu kwenda naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Isa alipokuwa anaingia kwenye mashua, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu akamsihi Isa waende pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Isa alipokuwa anaingia kwenye mashua, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu akamsihi Isa waende pamoja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Naye alipokuwa akipanda katika mashua, yule aliyekuwa na pepo akamsihi kwamba awe pamoja naye;

Tazama sura Nakili




Marko 5:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nimrudishie BWANA nini Kwa ukarimu wake wote alionitendea?


Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Wakamwendea Yesu, wakamwona yule mwenye pepo, ameketi, amevaa nguo, ana akili zake, naye ndiye aliyekuwa na lile jeshi la pepo; wakaogopa.


Na wale waliokuwa wameona waliwaeleza ni mambo gani yaliyompata yule mwenye pepo, na kuhusu nguruwe.


Wakaanza kumsihi aondoke katika eneo lao.


akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo