Matendo 16:39 - Swahili Revised Union Version39 Wakaja wakawasihi; na walipokwisha kuwatoa nje, wakawaomba watoke katika mji ule. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Hivyo, walikwenda kuwataka radhi na baada ya kuwatoa ndani waliwaomba watoke katika mji ule. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Hivyo, walikwenda kuwataka radhi na baada ya kuwatoa ndani waliwaomba watoke katika mji ule. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Hivyo, walikwenda kuwataka radhi na baada ya kuwatoa ndani waliwaomba watoke katika mji ule. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 Kwa hiyo wakaja wakawaomba msamaha, wakawatoa gerezani, wakawaomba waondoke katika ule mji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 Kwa hiyo wakaja wakawaomba msamaha, wakawatoa gerezani, wakawaomba waondoke katika ule mji. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI39 Wakaja wakawasihi; na walipokwisha kuwatoa nje, wakawaomba watoke katika mji ule. Tazama sura |