Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 4:7 - Swahili Revised Union Version

Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga, nazo hazikuzaa nafaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga, nazo hazikuzaa nafaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga, nazo hazikuzaa nafaka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba ikakua, ikaisonga hiyo mimea, hivyo haikutoa mazao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea, hivyo haikutoa mazao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 4:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Maana BWANA awaambia hivi watu wa Yuda na Yerusalemu Ulimeni udongo katika konde zenu, wala msipande mbegu kati ya miiba.


Naye aliyepandwa penye miiba, huyo ndiye alisikiaye lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno; likawa halizai.


Nyingine zikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikazisonga;


nyingine zikaanguka penye udongo mzuri, zikazaa, moja mia, moja sitini, moja thelathini.


hata jua lilipozuka iliungua, na kwa kuwa haina mizizi ikanyauka.


Nyingine zikaanguka penye udongo ulio mzuri, zikazaa matunda, zikimea na kukua, na kuzaa, moja thelathini, moja sitini, na moja mia.


Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Na zilizoanguka penye miiba ni wale waliosikia, na katika kuenenda kwao husongwa na shughuli na mali, na anasa za maisha haya, wasiivishe lolote.


Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.