Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 4:6 - Swahili Revised Union Version

6 hata jua lilipozuka iliungua, na kwa kuwa haina mizizi ikanyauka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Jua lilipochomoza, zikateketea; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Jua lilipochomoza, zikateketea; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Jua lilipochomoza, zikateketea; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 hata jua lilipozuka iliungua, na kwa kuwa haina mizizi ikanyauka.

Tazama sura Nakili




Marko 4:6
15 Marejeleo ya Msalaba  

Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.


Maana umekuwa ngome ya maskini, Ngome ya mhitaji katika dhiki yake, Mahali pa kukimbilia wakati wa tufani, Na kivuli wakati wa joto; Wakati kishindo cha watu wakatili kilipokuwa, Kama dhoruba ipigayo ukuta.


Basi ikawa, jua lilipopanda juu, Mungu akatayarisha upepo wa mashariki, wenye joto jingi; jua likampiga Yona kichwani, hata akazimia, naye akajitakia kufa, akasema, Ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Lakini jua lilipozuka ziliungua; na kwa kuwa hazina mizizi zikanyauka.


Nyingine ikaanguka penye mwamba, pasipokuwa na udongo mwingi; mara ikaota kwa kuwa na udongo haba;


Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda.


Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;


wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani.


na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea; kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa.


Maana jua huchomoza kwa joto kali, huyakausha majani; ua lake huanguka, uzuri wa umbo lake hupotea; vivyo hivyo naye tajiri atanyauka katika njia zake.


Watu hawa ni miamba yenye hatari katika karamu zenu za upendo walapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo hofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa mara mbili, na kung'olewa kabisa;


Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu tena, wala jua halitawapiga, wala joto iliyo yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo