Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 4:14 - Swahili Revised Union Version

Mpanzi huyo hulipanda neno.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mpanzi hupanda neno la Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mpanzi hupanda neno la Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mpanzi hupanda neno la Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule mpanzi hupanda neno.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule mpanzi hupanda neno.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mpanzi huyo hulipanda neno.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 4:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Heri ninyi mpandao mbegu kando ya maji yote, na kuiacha miguu ya ng'ombe na punda waende kokote.


Kila mtu alisikiapo neno la ufalme bila kulielewa, huja yule mwovu, akalinyakua lililopandwa moyoni mwake. Huyo ndiye aliyepandwa karibu na njia.


Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Akajibu, akasema, Azipandaye zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;


Wakakusanyika watu wengi, isibaki nafasi hata mlangoni; akawa akisema nao neno lake.


Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi mifano yote mtaitambuaje?


Hawa ndio walio kando ya njia lipandwapo neno; nao, wakiisha kusikia, mara huja Shetani, akaliondoa lile neno lililopandwa mioyoni mwao.


Sikilizeni; Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda;


kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,


Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.


Lakini wale waliotawanyika wakaenda huku na huko wakilihubiri neno.