Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 8:11 - Swahili Revised Union Version

11 Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 “Basi, maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 “Basi, maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 “Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 “Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 “Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili




Luka 8:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Basi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.


Kila mtu alisikiapo neno la ufalme bila kulielewa, huja yule mwovu, akalinyakua lililopandwa moyoni mwake. Huyo ndiye aliyepandwa karibu na njia.


Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi mifano yote mtaitambuaje?


Wale wa karibu na njia ndio wasikiao, kisha huja Ibilisi akaliondoa hilo neno mioyoni mwao, wasije wakaamini na kuokoka.


Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa roho zenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo