Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 3:23 - Swahili Revised Union Version

Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Isa akawaita na kuzungumza nao kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa Shetani?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Isa akawaita na kuzungumza nao kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa Shetani?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 3:23
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.


Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Hayo yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; wala pasipo mfano hakuwaambia neno;


Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.


Akaanza kusema nao kwa mifano; Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalizungushia ua, akachimba shimo la shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Na ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, ufalme huo hauwezi kusimama;


Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje, yote hufanywa kwa mifano,


Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,