Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 13:34 - Swahili Revised Union Version

34 Hayo yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; wala pasipo mfano hakuwaambia neno;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Yesu aliwaambia watu hayo yote kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Yesu aliwaambia watu hayo yote kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Yesu aliwaambia watu hayo yote kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Isa alinena mambo haya yote kwa umati wa watu kwa mifano, wala hakuwaambia lolote pasipo mfano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Isa alinena mambo haya yote kwa makutano kwa mifano. Wala hakuwaambia lolote pasipo mfano.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Hayo yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; wala pasipo mfano hakuwaambia neno;

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hii nasema nao kwa mifano; kwa kuwa wakitazama hawaoni, na wakisikia hawasikii, wala kuelewa.


Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Mithali hiyo Yesu aliwaambia, lakini wao hawakuelewa mambo hayo aliyowaambia.


Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa inakuja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.


Basi wanafunzi wake wakasema, Tazama, sasa wasema waziwazi, wala huneni mithali yoyote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo