Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:8 - Swahili Revised Union Version

Makutano wakaja, wakaanza kuomba awafanyie kama vile alivyozoea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wengi wakamwendea Pilato wakamwomba awafanyie kama kawaida yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wengi wakamwendea Pilato wakamwomba awafanyie kama kawaida yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wengi wakamwendea Pilato wakamwomba awafanyie kama kawaida yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umati ule wa watu wakamjia Pilato na kumwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ule umati wa watu ukamjia Pilato na kumwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Makutano wakaja, wakaanza kuomba awafanyie kama vile alivyozoea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mtamweka hata siku ya kumi na nne ya mwezi ule ule; na kusanyiko lote la mkutano wa Israeli watamchinja jioni.


Basi wakati wa sikukuu, mtawala desturi yake huwafungulia mkutano mfungwa mmoja waliyemtaka.


Akaondoka huko akafika katika eneo la Yudea, na ng'ambo ya Yordani; makutano mengi wakakutanika tena wakamwendea; akawafundisha tena kama alivyozoea.


Palikuwa na mtu aitwaye Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi, waliosababisha mauaji katika uhalifu huo.


Pilato akawajibu, akisema, Je! Mnataka niwafungulie mfalme wa Wayahudi?