Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:47 - Swahili Revised Union Version

Nao Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose wakapatazama mahali alipowekwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maria Magdalene na Maria mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose wakapatazama mahali alipowekwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:47
8 Marejeleo ya Msalaba  

Miongoni mwao alikuwamo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo na Yusufu, na mama yao wana wa Zebedayo.


Na pale walikuwapo Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, wameketi kulielekea kaburi.


Na sabato ilipokwisha, ikipambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi.


Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; miongoni mwao alikuwemo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo mdogo na Yose, na Salome;


Naye akanunua sanda ya kitani, akamteremsha, akamfungia ile sanda, akamweka katika kaburi lililochongwa mwambani; akavingirisha jiwe mbele ya mlango wa kaburi.


Na sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka.


Na wale wanawake waliokuja naye toka Galilaya walifuata, wakaliona kaburi, na jinsi mwili wake ulivyowekwa.