Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:47 - Swahili Revised Union Version

47 Nao Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose wakapatazama mahali alipowekwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 Maria Magdalene na Maria mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

47 Nao Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose wakapatazama mahali alipowekwa.

Tazama sura Nakili




Marko 15:47
8 Marejeleo ya Msalaba  

Miongoni mwao alikuwamo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo na Yusufu, na mama yao wana wa Zebedayo.


Na pale walikuwapo Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, wameketi kulielekea kaburi.


Na sabato ilipokwisha, ikipambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi.


Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; miongoni mwao alikuwemo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo mdogo na Yose, na Salome;


Naye akanunua sanda ya kitani, akamteremsha, akamfungia ile sanda, akamweka katika kaburi lililochongwa mwambani; akavingirisha jiwe mbele ya mlango wa kaburi.


Na sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka.


Na wale wanawake waliokuja naye toka Galilaya walifuata, wakaliona kaburi, na jinsi mwili wake ulivyowekwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo