Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:4 - Swahili Revised Union Version

Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu neno? Tazama ni mambo mangapi wanayokushitaki!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pilato akamwuliza tena Yesu, “Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pilato akamwuliza tena Yesu, “Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pilato akamwuliza tena Yesu, “Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu neno? Tazama ni mambo mangapi wanayokushitaki!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini?


Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako?


Nao wakuu wa makuhani walikuwa wakimshitaki mambo mengi.


Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.


Basi Pilato akamwambia, Husemi nami? Hujui ya kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua, nami nina mamlaka ya kukusulubisha?