Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:11 - Swahili Revised Union Version

Lakini wakuu wa makuhani wakawachochea watu, kuwa afadhali awafungulie Baraba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini viongozi wa makuhani wakachochea umati ule wa watu wamwombe awafungulie Baraba badala yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini viongozi wa makuhani wakauchochea ule umati wa watu wamwombe awafungulie Baraba badala yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wakuu wa makuhani wakawachochea watu, kuwa afadhali awafungulie Baraba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sikieni haya, enyi makuhani, sikilizeni, enyi nyumba ya Israeli, tegeni masikio yenu, enyi wa nyumba ya mfalme, kwa kuwa hukumu hii yawahusu ninyi; maana mmekuwa mtego huko Mizpa, na wavu uliotandwa juu ya Tabori.


Nao wakuu wa makuhani na wazee wakawashawishi makutano ili wamtake Baraba, na kumwangamiza Yesu.


Kwa maana alitambua ya kuwa wakuu wa makuhani wamemtoa kwa husuda.


Pilato akajibu tena akawaambia, Basi nimtendeje huyu mnayemnena kuwa ni mfalme wa Wayahudi?


Basi wakapiga kelele tena kusema, Si huyu, bali Baraba. Naye yule Baraba alikuwa mnyang'anyi.


Bali ninyi mlimkana yule Mtakatifu, yule Mwenye haki, mkataka mpewe mwuaji;