Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:11 - Swahili Revised Union Version

11 Lakini wakuu wa makuhani wakawachochea watu, kuwa afadhali awafungulie Baraba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Lakini viongozi wa makuhani wakachochea umati ule wa watu wamwombe awafungulie Baraba badala yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Lakini viongozi wa makuhani wakauchochea ule umati wa watu wamwombe awafungulie Baraba badala yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Lakini wakuu wa makuhani wakawachochea watu, kuwa afadhali awafungulie Baraba.

Tazama sura Nakili




Marko 15:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sikieni haya, enyi makuhani, sikilizeni, enyi nyumba ya Israeli, tegeni masikio yenu, enyi wa nyumba ya mfalme, kwa kuwa hukumu hii yawahusu ninyi; maana mmekuwa mtego huko Mizpa, na wavu uliotandwa juu ya Tabori.


Nao wakuu wa makuhani na wazee wakawashawishi makutano ili wamtake Baraba, na kumwangamiza Yesu.


Kwa maana alitambua ya kuwa wakuu wa makuhani wamemtoa kwa husuda.


Pilato akajibu tena akawaambia, Basi nimtendeje huyu mnayemnena kuwa ni mfalme wa Wayahudi?


Basi wakapiga kelele tena kusema, Si huyu, bali Baraba. Naye yule Baraba alikuwa mnyang'anyi.


Bali ninyi mlimkana yule Mtakatifu, yule Mwenye haki, mkataka mpewe mwuaji;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo