Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:12 - Swahili Revised Union Version

12 Pilato akajibu tena akawaambia, Basi nimtendeje huyu mnayemnena kuwa ni mfalme wa Wayahudi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Pilato akawauliza tena, “Basi, sasa mwataka nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Pilato akawauliza tena, “Basi, sasa mwataka nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Pilato akawauliza tena, “Basi, sasa mwataka nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka nifanye nini na huyu mtu mnayemwita mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka nifanye nini na huyu mtu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Pilato akajibu tena akawaambia, Basi nimtendeje huyu mnayemnena kuwa ni mfalme wa Wayahudi?

Tazama sura Nakili




Marko 15:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


Mwambieni binti Sayuni Tazama, mfalme wako anakuja kwako, Mpole, naye amepanda punda, Na mwanapunda, mtoto wa punda.


Lakini wakuu wa makuhani wakawachochea watu, kuwa afadhali awafungulie Baraba.


Wakapiga kelele tena, Msulubishe.


Wakaanza kumshitaki, wakisema, Tumemwona huyu akipotosha taifa letu, na kuwazuia watu wasimpe Kaisari kodi, akisema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo, mfalme.


Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kulia, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo