Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 12:11 - Swahili Revised Union Version

Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu ndiye alitenda jambo hili, nalo ni la kushangaza machoni petu’?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenyezi Mungu ndiye alitenda jambo hili, nalo ni ajabu machoni petu’?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 12:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Labani na Bethueli wakajibu wakasema, Neno hili limetoka kwa BWANA, wala sisi hatuwezi kukuambia neno jema wala baya.


Jiwe walilolikataa waashi Limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Neno hili limetoka kwa BWANA, Nalo ni ajabu machoni petu.


Angalieni, enyi mlio kati ya mataifa, katazameni, kastaajabuni sana; kwa maana mimi natenda tendo siku zenu, ambalo hamtaliamini hata mkiambiwa.


Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!


Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni la ajabu machoni petu?


Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?


ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika Mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu


Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.