Marko 12:10 - Swahili Revised Union Version10 Hata andiko hili hamjalisoma, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Je, hamjasoma Maandiko haya? ‘Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Je, hamjasoma Maandiko haya? ‘Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Je, hamjasoma Maandiko haya? ‘Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Je, hamjasoma andiko hili: “ ‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Je, hamjasoma Andiko hili: “ ‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni; Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Hata andiko hili hamjalisoma, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni. Tazama sura |