Marko 12:11 - Swahili Revised Union Version11 Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Mwenyezi Mungu ndiye alitenda jambo hili, nalo ni la kushangaza machoni petu’?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Mwenyezi Mungu ndiye alitenda jambo hili, nalo ni ajabu machoni petu’?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu? Tazama sura |