Mwanzo 24:50 - Swahili Revised Union Version50 Ndipo Labani na Bethueli wakajibu wakasema, Neno hili limetoka kwa BWANA, wala sisi hatuwezi kukuambia neno jema wala baya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema50 Baada ya kusikia hayo, Labani na Bethueli wakamjibu, “Jambo hili limetoka kwa Mwenyezi-Mungu, sisi hatuwezi kuamua lolote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND50 Baada ya kusikia hayo, Labani na Bethueli wakamjibu, “Jambo hili limetoka kwa Mwenyezi-Mungu, sisi hatuwezi kuamua lolote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza50 Baada ya kusikia hayo, Labani na Bethueli wakamjibu, “Jambo hili limetoka kwa Mwenyezi-Mungu, sisi hatuwezi kuamua lolote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu50 Labani na Bethueli wakajibu, “Jambo hili limetoka kwa Mwenyezi Mungu; hatuwezi kukuambia jambo lolote baya au jema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu50 Labani na Bethueli wakajibu, “Jambo hili limetoka kwa bwana, hatuwezi kukuambia jambo lolote baya au jema. Tazama sura |