Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:41 - Swahili Revised Union Version

Hata wale kumi waliposikia wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata wale kumi waliposikia wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:41
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kiburi huleta mashindano tu; Bali hekima hukaa nao wanaoshauriana.


Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili.


Yesu akawaita, akawaambia, Mwajua ya kuwa wale wanaohesabiwa kuwa wakuu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha.


Yakatokea mashindano kati yao, kwamba ni nani anayehesabiwa kuwa mkubwa.


Akawaambia, Wafalme wa Mataifa huwatawala, na wenye mamlaka juu yao huitwa Wenye fadhili;


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.


Au mwadhani ya kwamba Maandiko yasema bure? Huyo Roho akaaye ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?