Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 20:24 - Swahili Revised Union Version

24 Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia haya, waliwakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia haya, waliwakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kiburi huleta mashindano tu; Bali hekima hukaa nao wanaoshauriana.


Akawaambia, Hakika mtakinywea kikombe changu; lakini kuketi mkono wangu wa kulia na mkono wangu wa kushoto, sina amri kuwapa, bali watapewa waliowekewa tayari na Baba yangu.


Lakini Yesu akawaita, akasema, Mwajua ya kuwa wakuu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha.


Ila Yesu alipoona alichukizwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao.


Hata wale kumi waliposikia wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.


Basi mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu amemponya mtu siku ya sabato, akajibu, akawaambia mkutano, Kuna siku sita zifaazo kufanya kazi, basi njoni mponywe katika siku hizo, wala si katika siku ya sabato.


Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;


Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.


Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo juu ya kweli.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo