Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 10:41 - Swahili Revised Union Version

41 Hata wale kumi waliposikia wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

41 Hata wale kumi waliposikia wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura Nakili




Marko 10:41
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kiburi huleta mashindano tu; Bali hekima hukaa nao wanaoshauriana.


Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili.


Yesu akawaita, akawaambia, Mwajua ya kuwa wale wanaohesabiwa kuwa wakuu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha.


Yakatokea mashindano kati yao, kwamba ni nani anayehesabiwa kuwa mkubwa.


Akawaambia, Wafalme wa Mataifa huwatawala, na wenye mamlaka juu yao huitwa Wenye fadhili;


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.


Au mwadhani ya kwamba Maandiko yasema bure? Huyo Roho akaaye ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo