Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 5:22 - Swahili Revised Union Version

Ingawa wewe umetukataa kabisa; Nawe una hasira nyingi sana juu yetu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Au, je, umetukataa kabisa? Je, umetukasirikia mno?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Au, je, umetukataa kabisa? Je, umetukasirikia mno?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Au, je, umetukataa kabisa? Je, umetukasirikia mno?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

isipokuwa uwe umetukataa kabisa na umetukasirikia pasipo kipimo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

isipokuwa uwe umetukataa kabisa na umetukasirikia pasipo kipimo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ingawa wewe umetukataa kabisa; Nawe una hasira nyingi sana juu yetu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 5:22
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini umetutupa, umetufedhehesha, Wala huendi na majeshi yetu.


Hapo waliingiwa na hofu pasipokuwapo hofu, Maana Mungu ameitawanya mifupa yake aliyekuhusuru. Umewatia aibu, Kwa sababu MUNGU amewadharau.


Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako?


Ee BWANA, hadi lini? Utaona hasira milele? Wivu wako utawaka kama moto?


Ee BWANA, usione hasira nyingi, wala usiukumbuke uovu siku zote; tazama, angalia, twakusihi, sisi sote tu watu wako.


Je! Umemkataa Yuda kabisa? Roho yako imeichukia Sayuni? Mbona umetupiga, tusiwe na dawa ya kutuponya? Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yoyote, tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!


Watu watawaita taka za fedha, kwa sababu BWANA amewakataa.


Zikate nywele zako, Ee Yerusalemu, uzitupe, Ukafanye maombolezo juu ya vilele vya milima; Kwa maana BWANA amekikataa na kukitupa Kizazi cha ghadhabu yake.


Katika uchafu wako mna uasherati, kwa maana nimekusafisha, ila wewe hukusafika; hutasafishwa tena uchafu wako ukutoke, hadi nitakapokuwa nimeituliza hasira yangu kwako.


Kisha akaniambia, Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli; tazama, wao husema, Mifupa yetu imekauka, matumaini yetu yametupotea; tumekatiliwa mbali kabisa.


Akachukua mimba tena, akazaa mtoto wa kike, BWANA akamwambia, Mwite jina lake Lo-ruhama; kwa maana sitairehemu nyumba ya Israeli tena, nisije nikawasamehe kwa njia yoyote.