Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:38 - Swahili Revised Union Version

Je! Katika kinywa chake Aliye Juu Hayatoki maovu na mema?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maafa na mema hutokea tu kwa amri yake Mungu Mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maafa na mema hutokea tu kwa amri yake Mungu Mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maafa na mema hutokea tu kwa amri yake Mungu Mkuu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Katika kinywa chake Aliye Juu Hayatoki maovu na mema?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:38
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akasema, Nina nini na ninyi, enyi wana wa Seruya? Kwa sababu yeye analaani, na kwa sababu BWANA amemwambia, Mlaani Daudi, basi, ni nani atakayesema, Mbona umetenda haya?


Lakini yeye akamwambia, Wewe wanena kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu anenavyo. Je! Tupate mema mkononi mwa Mungu, nasi tusipate na mabaya? Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi kwa midomo yake.


Bali Mungu ndiye ahukumuye; Humdhili huyu na kumwinua huyu.


Watu wengi hutafuta upendeleo wa mkuu; Bali hukumu ya kila mtu hutoka kwa BWANA


Siku ya kufanikiwa ufurahi, Na siku ya mabaya ufikiri. Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili, ili mwanadamu asipate kulijua neno lolote litakalofuata baada yake.


Mimi naiumba nuru, na kulihuluku giza; mimi nafanya suluhu, na kuhuluku ubaya; Mimi ni BWANA, niyatendaye hayo yote.


Maana BWANA asema hivi, Kama nilivyoleta mabaya haya yote makuu juu ya watu hawa, vivyo hivyo nitaleta juu yao mema hayo yote niliyowaahidi.


Je! Tarumbeta itapigwa mjini, watu wasiogope? Mji utapatikana na hali mbaya, asiyoileta BWANA?