Maombolezo 3:37 - Swahili Revised Union Version37 Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Nani awezaye kuamuru kitu kifanyike Mwenyezi-Mungu asipopanga iwe hivyo? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Nani awezaye kuamuru kitu kifanyike Mwenyezi-Mungu asipopanga iwe hivyo? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Nani awezaye kuamuru kitu kifanyike Mwenyezi-Mungu asipopanga iwe hivyo? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Nani awezaye kusema nalo likatendeka kama Bwana hajaamuru? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Nani awezaye kusema nalo likatendeka kama Bwana hajaamuru? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI37 Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza? Tazama sura |