Maombolezo 3:38 - Swahili Revised Union Version38 Je! Katika kinywa chake Aliye Juu Hayatoki maovu na mema? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Maafa na mema hutokea tu kwa amri yake Mungu Mkuu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Maafa na mema hutokea tu kwa amri yake Mungu Mkuu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Maafa na mema hutokea tu kwa amri yake Mungu Mkuu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI38 Je! Katika kinywa chake Aliye Juu Hayatoki maovu na mema? Tazama sura |