Maombolezo 3:39 - Swahili Revised Union Version39 Mbona anung'unika mwanadamu aliye hai Mtu akiadhibiwa kwa dhambi zake? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Kwa nini mtu anung'unike, ikiwa ameadhibiwa kwa dhambi zake? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Kwa nini mtu anung'unike, ikiwa ameadhibiwa kwa dhambi zake? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Kwa nini mtu anung'unike, ikiwa ameadhibiwa kwa dhambi zake? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 Je, mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika wakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika wakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI39 Mbona anung'unika mwanadamu aliye hai Mtu akiadhibiwa kwa dhambi zake? Tazama sura |
Lakini Elisha alikuwa akikaa nyumbani mwake, na wazee wakikaa pamoja naye; na mfalme akamtuma mtu wa mbele yake; lakini hata kabla ya kufika kwake yule aliyetumwa, akawaambia wazee, Je! Mwaona jinsi huyu mwana wa mwuaji alivyotuma aniondolee kichwa changu? Angalieni, huyo aliyetumwa akifika, fungeni mlango, mkamzuie mlangoni; je! Sauti ya miguu ya bwana wake haiko nyuma yake?