Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:3 - Swahili Revised Union Version

Hakika juu yangu augeuza mkono wake Mara kwa mara mchana wote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amenyosha mkono wake dhidi yangu mimi tu, akanichapa tena na tena mchana kutwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amenyosha mkono wake dhidi yangu mimi tu, akanichapa tena na tena mchana kutwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amenyosha mkono wake dhidi yangu mimi tu, akanichapa tena na tena mchana kutwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu tena na tena, mchana kutwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu tena na tena, mchana kutwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakika juu yangu augeuza mkono wake Mara kwa mara mchana wote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nilikuwa katika raha, naye akanivunjavunja; Naam, amenishika shingo, na kuniponda; Tena amenisimamisha niwe shabaha yake.


Nihurumieni, nihurumieni, enyi rafiki zangu, Kwa maana mkono wa Mungu umenigusa.


Ikiwa nimewainulia mayatima mkono, Nilipoona msaada wangu langoni;


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Kwa maana mishale yako imenichoma, Na mkono wako umenipata.


nami nitakuelekezea wewe mkono wangu, na kukutakasa takataka zako kabisa, na kukuondolea bati lako lote;


Kwa sababu hiyo hasira ya BWANA imewaka juu ya watu wake, naye amenyosha mkono wake juu yao; akawapiga, navyo vilima vilitetemeka, na mizoga yao ilikuwa kama takataka katika njia kuu. Pamoja na hayo yote hasira yake haikugeukia mbali, lakini mkono wake umenyoshwa hata sasa.


Lakini wakaasi, wakamhuzunisha Roho yake Mtakatifu; kwa hiyo akawageukia, akawa adui, akapigana nao.


BWANA hatamsamehe mtu huyo, lakini wakati huo hasira ya BWANA na wivu wake vitafuka moshi juu ya mtu yule, na laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki itamkalia juu yake, na BWANA atalifuta jina lake chini ya mbingu.